"Kulikuwa na mchakato wa ndani wa viongozi na wanachama na asubuhi ya leo tumefika hapa mahakamani kuanza kufuata utaratibu kumuchomoa ndugu yetu Mashinji na kifungo siku hili malipo ni ya kielectroniki ila tumepewa namba kwaajili ya kulipia benki na tukisharipa tutarudi hapa tupewe utaratibu baada ya hapo tutaenda gerezani kumtoa na kumkabizi kwa familia" alisema Polepole.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment