Kocha mkuu wa Yanga SC raia wa Ubelgiji Luc Eymael ameoa kimya kimya na baada ya hapo akaamua kutangaza kupitia ukurasa wake wa instagram.
“Mambo ya kidunia yameingilia harusi kwa sababu za kiafya (corona), waliobaki watakuwepo kwa ajili ya wakati mwingine na watakaoalikwa watajulishwa”
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment