Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye kwa sasa yupo karantini kufuatiwa motto wake kukutwa na virusi vya Corona.
“Tunamuaombea kila la heri mwanao aweze kupona tunamuombea kwa mnyezi Mungu, ni mtihani wa Mungu lakini tunashuru wanafamilia wengine hamna,” Profesa Lipumba amemweleza Mbowe.
Kwa upande wake Mbowe amemshukuru Lipumba kwa kumjulia hali na kutoa wito kwa viongozi na wasio viongozi kutoa elimu sahihi juu ya ugonjwa huo huku akisisitiza kuwa sio wa kupuuzwa
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment