Wizara ya Afya Uganda imesema wagonjwa wengine wawili wa corona wamepona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 22 nchini humo, Uganda ina visa 55 ambapo kwa sasa wagonjwa 33 wanaendelea na matibabu, 22 wamepona na hakuna kifo kilichotokana na corona.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment