"Mke wangu sio video vixen, ali-shoot video na mimi kwa sababu ni mume wake, hata mimi siwezi kufanya naye kazi hiyo tena, maana nikifanya hivyo itakuwa nimemuhalalisha kwamba video vixen ni kazi yake" amesema Harmonize.
Pia akizungumzia juu ya kutotaka mke wake huyo kutozoeana na watu, wasanii wengine na vyombo vya habari Harmonize amesema "Nilitamani iwe hivyo ila sio kama nimeweka hatakiwi kufanya hivyo, kwa sababu tayari ameshakuwa maarufu, watu wanamuona na kumfuatilia ila natamani ingekuwa hivyo japo najua haiwezekani".
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment