Ameongeza, "Nilienda hospitali ya Temeke, wakanipima ndipo nilipokutwa ninao na kuletwa hapa Amana ambapo kwa sasa ni moja ya kituo cha wagonjwa.”
Hata hivyo, amesema kuwa yeye anahisi atakuwa ameambukiziwa baa maana ndio maeneo yake ya kujidai na hivyo amewapongeza baadhi ya viongozi waliotoa tamko la kufungwa kwa baa akisema ni hatua nzuri
Amesisitiza kuwa maeneo ya baa watu kuwa makini kujikinga na ugonjwa huu ni ngumu na pia huusisha mikusanyiko ambapo mtu akiwa hajalewa anaweza kukaa mbali na watu lakini pombe zikishamuingia akili hiyo haitakuwepo tena
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment