Diva Loveness aachi vituko, baada ya kutrend sana week mbili hizi zilizopita baada ya kutangaza kuwa alikuwa kwenye uhusiano wa siri wa kimapenzi na Ali Kiba, Sasa Mrembo huyo ametangaza kuwa atakaye taka kumua aje na Bilioni 1.5 Kama mahari
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment