Katika kusaidia kusambaa kwa virusi hivyo, Barakoa zote zilizotumiwa na wagonjwa pamoja na watu walio kwenye vituo vyote vya kutibu corona zimetakiwa kutakaswa kwanza kabla hazijatupwa.
Sababu za kufanya hivyo nikuwa, zinabeba majimaji mengi yenye virusi hawa ambao wanaweza kusambaa kwenye vitu vingine hivyo kuongeza kasi ya maambukizi.
Wanajeshi waambukizwa Corona kwenye meli ya kivita
Halikadharika watumishi wa afya wanapaswa kutakasa mikono yao mara moja baada tu ya kutoa huduma kwa wagonjwa.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment