Wizara ya Afya Kenya imesema Watu wengine wapya 8 wamebainika kuwa na corona na kufanya idadi ya wenye corona Kenya kufikia 270 kutoka 262.
“Tumepima sampuli 1330 ndani ya saa 24 na Watu 8 ndio wamebainika kuwa na maambukizi, saba ni raia wa Kenya na mmoja ni raia wa kigeni”
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
Monday, April 20, 2020
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment