Shirika la World Economic Forum limetoa orodha ya nchi 137 katika viwango vya ubora wa huduma za Vikosi vya Majeshi ya Polisi duniani
Nchi ya Finland imeshika nafasi ya kwanza ulimwenguni huku Rwanda ikishika nafasi ya 13 na ya namba 1 kwa Afrika
Nchi nyingine za Afrika zilizofanya vyema ni Misri, Ethiopia pamoja na Afrika Kusini
Ni nchi 4 tu za Afrika ndio zimeweza kuingia katika orodha hiyo
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment