Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, ameikataa Hotuba ya Wizara ya Fedha kutoka Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, kwa kile alichokidai kuwa hotuba hiyo imeandaliwa na Mbunge ambaye hayupo ndani ya Bunge hilo.
"Hotuba ya kambi rasmi hatujaikubali sababu mwandishi wake ni Halima Mdee ni kati ya wale waliojifukuza wenyewe Bungeni, kwamba roho zao ni muhimu kuliko wengine, haiwezekani ukapitishia dirishani kazi zako zikafanyika, wakati wewe hata uliko hakujulikani" amesema Spika Ndugai
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment