Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ametangaza kuwa madereva 19 waliotoka Tanzania, wakapimwa mpakani Namanga na Serikali ya Kenya kutangaza kuwa wana corona wamepimwa upya kwenye maabara Kuu ya Taifa Dar es salaam na kubainika kuwa hawana virusi hivyo.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment