''Kama nisingeingia bungeni na kutii agizo la Mbowe,
nilikuwa napoteza fedha karibu Milioni6 ambayo nimelipwa kama posho, ningekuwa mwehu kumsikiliza Mbowe halafu nizikose hela hizo wakati nimeshasema nastaafu siasa na hizo hela nazihitaji'' -Lwakatare afunguka
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
Sunday, May 17, 2020
Mbunge Lwakatare Aibuka na Kumchana MBOWE "Kama Ningemsikiliza MBOWE na Kutii Agizo Lake la Kutoingia Bungeni Ningekuwa Mwehu Kupoteza Shilingi Milion 6"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment