Iran imesema Kisanduku cheusi (Black Box) cha ndege ya abiria ya Ukraine iliyodunguliwa kwa bahati mbaya na Iran mwezi uliopita kimeharibika na kiwanda cha Jeshi kimeombwa kukikarabati.
Waziri mkuu wa canada Justin Trudeau amesema amemshauri Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Iran Mohammad Javad Zarif kuwa uchunguzi kamili na huru kuhusiana na kudunguliwa kwa ndege hiyo ni lazima ufanyike na Black Box ambayo ilirekodi data zote za safari za ndege hiyo ni muhimu kupatikana.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment