Walinzi 7 wilayani Handeni mkoani Tanga wamenusurika kifo baada ya kulishwa mishikaki yenye sumu na majambazi, ambao baadaye walivunja maduka ya lindo lao na kuiba.
Imeelezwa kuwa majambazi hao walijenga uhusiano wa wiki kadhaa na walinzi hao huku wakijifanya wauza mishikaki na kuaminika na walinzi hao.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment