Klabu ya Simba imefanikiwa kuchukua pointi zote tatu baada ya kuipa kipigo Kagera Sugar cha bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kwenye dimba la Taifa jijini Dar es Salaam.
Goli la Simba lilifungwa na Meddie Kagere kwa mkwaju wa penati dakika ya 61.
FT | Simba SC 1-0 Kagera Sugar.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
Tuesday, February 18, 2020
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment