Mahakama ya Kisutu imemhukumu mwandishi wa habari Shafii Dauda na Benedict Kadeghe ambaye ni mtaalamu wa Tehama kulipa faini ya Shilingi milioni tano kila mmoja ama kufungwa miezi 12 gerezani baada ya kukiri kosa lao la kuchapisha maudhui mtandaoni bila leseni.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment