Kutokana na utumiaji wa pombe kali ikapelekea kuugua ugonjwa wa ini na kujaa sana kwa tumbo. Diamond akamsaidia kumpeleka India kwa ajili ya matibabu na akapona. Sasa hivi anaendelea na muziki.
Ameachia wimbo mpya unaitwa Moyo ni wimbo mzuri; una maadili unaweza kuuangalia hata ukiwa na familia yako.
Hii inatufundisha jinsi gani Mungu anatoa another chance Kwa ajli ya kujirekebisha. Sasa hivi Hawa anaoga, anapendeza.
Kwa kifupi anajua kuimba. Simsifii sana.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment