Bilionea maarufu nchini Tanzania Mohammed Dewji (Mo) amesema kampuni yake punde itaanza kutengeneza sanitaizer ikiwa ni sehemu ya kampuni hiyo kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa virusi vya Corona.
Mo ameeleza hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter na kueleza kuwa amewapa kazi watu wake kuangalia na namna gani kampuni hiyo inaweza ikaisaidia jamii katika mapambano haya ya Corona.
Hata hivyo siku moja baadaye Mo aliposti picha ya taasisi yake ikijenga eneo la kunawia mkiono katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, na kusema kuwa hiyo ni hataua ya kwanza wanendelea kuangalia namna nyingine ya kusaidia.
Hata hivyo siku moja baadaye Mo aliposti picha ya taasisi yake ikijenga eneo la kunawia mkiono katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, na kusema kuwa hiyo ni hataua ya kwanza wanendelea kuangalia namna nyingine ya kusaidia.
Kwenye kuunga mkono na mapambano dhidi ya #COVID19, tumeanza kujenga sehemu za kuoshea mikono kwenye lango kuu na baadhi ya majengo Muhimbili. Ujenzi umeanza na utakamilika karibuni. Hii ni hatua ya kwanza, tunaendelea kuangalia namna zingine za kuendeleza mapambano. twitter.com/moodewji/statu …
37 people are talking about this
Kama kampuni, tutaanza kutengeneza vitakasa mkono (hand sanitizers). Kuwa tayari, utaziona karibuni. @MeTL_Group
480 people are talking about this
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment