Mtangazaji aliekuwa Times Fm Lil OMMY leo ametambulishwa RASMI ndani ya wasafi fm .
Wadau wanadau kipindi hichi kinakuja kuua Ufalme wa XXL Kipindi cha Clouds Ambacho kimekuwa kikitamba kwa miaka mingi kwa kuongoza kusikilizwa katika vipindi vya mchana.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment