Rais Tshisekedi amelitaka jeshi la polisi na vikosi vya usalama kufanya dora ya pamoja ili kuhakikisha hatua hizo zinatekelezwa kwa manufaa ya watu wote.
Pia rais Tshisekedi ametangaza kufunga mipaka na kuruhusu malori, meli na ndege za mizigo muhimu tu kuingia nchini humo.
Mpaka sasa, kuna jumla ya kesi 48 za maambukizi ya virusi vya Corona nchini DRC.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment