"Mwili wangu biashara kwa sababu naweza nikaitwa mahali kwa sababu ya muonekano wangu wanavyoniona na wakanilipa pesa, wengine wanapenda jinsi nilivyo na ninavyojirusharusha kwenye video halafu msanii anatakiwa awe na muonekano kuanzia mavazi hadi maisha yake nje ya muziki" Lulu Diva
Aidha msanii huyo ameongeza kusema yeye anapenda sana urembo na kama mtu hatampenda kwenye muziki basi atampenda kupitia muonekano wake ambao unapatikana katika mwili wake.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment