Taarifa zinazosambaa, Ni Kuwa SALLAM SK Mendez anaumwa , Diamond , Dancers na Crew nzima Wamechukuliwa vipimo wote waliokuwa Marekani juzi wanasubiri majibu ya vipimo kama ni Ugonjwa mwingine au Corona
"Siwezi Kusema kama anaugua, anayeugua ni Binadamu, hatujaambiwa kama anaumwa maradhi yoyote, alikuwa na home ya kawaida tunasubiria majibu yatakuwaje, Alikuwa anaumwa kabla hajaondoka, si unajua ni mtu wa kuparty akajua uchovu"
MSIKILIZE HAPA
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment