“Napenda kuchukua nafasi hii kuomba msamaha kwa yeyote ambaye nimemkosea kwa kujua ama kutokujua. Namuomba M/Mungu akubali dua zetu, anatujaalie tuweze kuufikia Mwezi Mtukufu wa Ramadhan tukiwa na afya njema, Ameen”
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
Leo ndio Jumamosi ya mwisho kabla ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Napenda kuchukua nafasi hii kuomba msamaha kwa yeyote ambaye nimemkosea kwa kujua ama kutokujua. Namuomba M/Mungu akubali dua zetu, anatujaalie tuweze kuufikia Mwezi Mtukufu wa Ramadhan tukiwa na afya njema, Ameen
319 people are talking about this
No comments:
Post a Comment