“Nilikuwa na ndoto ya kuwa maarufu. Nikiona wale wasichana kama kina Wema enzi hizo ndo anaigiza kina Wolper naona agh mbona kakosea yani najua mi ntapatia, yani pale mi ntalenga yani mimi najiona mimi ninajua. Niko hivyo mpaka kesho, mimi najuaga kuliko mtu yeyote" Gigy Money.
“Mimi nimedharaulika sana tena especially kwa wanawake wenzangu wakati ninaanza" Gigy Money.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment