Pia, taarifa imesema marehemu alikuwa na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua siku nyingi japo kwa maadili ya kazi hawakutaja maradhi hayo
Evodia Kapinga alizidiwa Aprili 18 akiwa nyumbani kwake Kimara na amefariki leo alfajiri, Aprili 19 akiwa hospitali ya Sinza Palestina. Taarifa imesisitiza kuwa uvumi wa kuwa amefariki kwa #CoronaVirus upuuzwe.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment