Katika ukurasa wa Istagramu wa Kampuni hiyo walimkaribisha wakisema Ni mtoto wa Malkia Mwenye Sauti ya Kasuku “Amepikwa akapikika Sasa Ni Muda wa Dunia Kufurahia kipaji Hiki Kipya kutoka Tanzania”.
“Tafadhali kwa Heshima na Taazima Tunawaomba Watanzania Mumpokee na Kusheherekea Kipaji chake”.
Msanii Diamond aliposti Zuchu na kumkaribisha kundini huku akiwatka wapenzi wa muziki nchini kumfuatilia msanii huyo katika mitandao yake ya kijamii.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment