Toka Rich Mavoko ametoka WCB Mwendo wake wa kutoa nyimbo umekuwa mdogo sana unaambiwa ni afadhali alipokuwa WCB angalau alikuwa anatoa Nyimbo
Wewe Kama Shabiki wa Bongofleva Hapa Tanzania, Unadhani @richmavoko Anautendea Haki Mziki wa Bongofleva/Mashabiki Zake Kukaa Muda Mtefu Tangu Januari.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment