Labo hiyo imetoa taarifa hiyo ikiwa siku chache baada ya wasanii wake wawili Killy na Chead kutangaza kuachana na lebo hiyo. “It’s official kwamba this Friday @kingsmusicrecords inamtambulisha rasmi @tommyflavour kwenye music industry. Kuwa wa kwanza kusikiliza na kuangalia kazi zake mpya kwa subscribe kwenye Youtube Channel ya Tommy Flavour – Link on his BIO. 🎥 @chanenoo
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
Friday, April 17, 2020
Kings Music Waanza Fujo za Kumtambulisha Msanii Mpya Tommy Flavour
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment