Unaambiwa kwenye maisha ya sasa ili ufanikiwe unatakiwa uwe na kitu kimoja kati ya hivi viwili ambavyo ni uwezo au bahati ambavyo vitakusaidia kwenye mipango yako ya kutafuta maisha.
"Kuna muda unatakiwa kuwa na bahati, ila lazima uwe na uwezo pia kwa sababu bahati huwa inamchagua mtu, vilevile kuna watu wana uwezo lakini hawana bahati, kwahiyo tunahitaji bahati kwenye maisha yetu maana ukiwa na nguvu ya bahati hakuna hata mtu mmoja ambaye ataweza kukupa changamoto" amesema Alikiba.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment