Idadi ya vifo nchini Marekani yongezeka na kufikia 4,491 ndani ya saa 24 kwa mujibu wa takwimu za chuo kikuu cha John Hopkins.
Aidha Marekani ilikuwa ikitangaza idadi ya vifo vya wagonjwa waliopimwa maabara na kuthibitika kuwa na Ugonjwa huu.
Mpaka kufikia jana Chuo hicho kimetoa takwimu za kidunia kuhusiana na mwenendo wa ugonjwa wa COVID 19 vifo vikiwa ni 137,078 huku jumla ya visa vilivyothibitishwa kufikia takribani milioni mbili.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment