Kiongozi huyo aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter kuwa ” Wanachofanya ni 1. Testing 2. Lockdown maeneo yaliyoathirika 3. Stimulus package kuhami uvhumi wetu amka!!!,”.
Mdee aliandika ujumbe huu ” Covid 19 is deadly and serious @ umwalimu unapambana kwa uwezo wako kama Waziri tunajua umezidiwa. Ni wakati mwafaka kwa @Magufuli kuonyesha uongozi jifunze majirani zake wanachofanya 1. Testing 2. Lockdown maeneo yaliyoathirika 3. Stimulus package kuhami uvhumi wetu amka!!!,”
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
Covid 19 IS DEADLY and SERIOUS@umwalimu unapambana kwa uwezo wako kama WAZIRI(Tunajua UMEZIDIWA). NI wakati MWAFAKA kwa @MagufuliJP kuonyesha UONGOZI jifunze MAJIRANI zako wanachofanya 1.Testing 2. Lockdown(maeneo yaliyoathirika) 3. Stimulus Package kuhami UCHUMI wetu! Amka !!!
147 people are talking about this
No comments:
Post a Comment