“Tunashukuru Mungu kwa kutulinda maan mpaka leo hakuna kifo hata kimoja kutokana na ugonjwa huu lakini pia tukumbuke Mungu anamambo mengi anayo dunia nzima ya kuiangalia na kuilinda hawezi kuwa hapa Uganda tu akiwaangalia wajinga waliokata kufuata maelekezo ya serikali” amesema Museveni
Mbali na kauli hiyo pia Rais huyo amewataka wananchi wake pia kuacha kusafirisja miili ya watu waliofariki na Corona toka nje kuja kuizika nchini humo kwani kufanya hivyo kuna leta uwezekano wa ugonjwa huo kuendelea kusambaa baina yao.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment