Miezi kadhaa iliyopita Fahyma akihojiwa na Ijumaa amesema mjengo aliokuwa akiishi na Rayvanny huko Salasala, Dar ni wao wameujenga kwa kudunduliza -
Dalali alipoulizwa kama Rayvanny amefukuzwa na mwenye nyumba ? Amesema sio kweli bali Rayvanny ameondoka mwenyewe baada ya kodi yake kuisha
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment