Masharti yaliyotolewa na Spika Ndugai kwa wabunge wa Chadema baada ya kutangaza wiki mbili za kutoingia bungeni ni kurudisha posho walizopewa na kuwasilisha vipimo kuwa hawana ugonjwa huo.
Aidha Leo Mei 15 Wizara ya fedha ilikuwa ikiwasilisha hotuba ya bajiti yake ya mwaka wa fedha 2020/2021 ambapo kambi rasmi ya upinzani bungeni ilipaswa nayo kuwasilisha hotuba yake.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment