Mbunge huyo aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter kuwa endapo ukawafundisha watoto wako kujitegemea alafu wakashindwa kuheshimu haki watabaki kuwa watumwa.
“Ukiwafundisha watoto wako kujitegemea alafu wasijue kuheshimu haki bado wataendelea kuwa watumwa,” aliandika Lema katika ukurasa wake wa twitter
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment