“Juzi nikiwa Chato alinipigia simu rais wa Kenyatta na tukaongea juu ya swala la mgogoro kule mpakani tumekubaliana kuwa wakuu wa mikoa ya mipakani kati ya Kenya na Tanzania kukutana na kutatua tatizo hili haraka iwezekanavyo ili biashara ziendelee kufanyika baina yetu” amesema
“Mawaziri wa uchukuzi wa kenya na watanzania na makatibu wakuu wa wizara ya mambo ya nje watengeneze utaratibu ndani ya wiki hii wakutabe hili jambo liweze kuisha haraka tunataka vituunhguu vya hapa Singida viuzwe kenya na sabuni za kenya ziuezwe hapa “ ameongeza
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment