“Tumewaagiza BMT na TFF wawasiliane na FIFA, CAF ili kuomba fedha za kusaidia vilabu wakati huu wa changamoto ya Corona”
“Ligi itakaporejea, kwa mechi kuchezwa bila ya mashabiki, timu zitakuwa kwenye wakati mgumu sana, Huu ni wakati ambao vilabu vinapaswa kusaidiwa na vyombo hivi ambavyo tunafahamu vina pesa ya kutosha,” amesema Dk Mwakyembe.
Tayari FIFA imetangaza kutoa mgawo wa zaidi ya Dola Milioni 150 kwa Wanachama wake katika jitihada za kuwasaidia kutimiza majukumu yao wakati huu wa kukabiliana na corona. TFF inatarajiwa kupokea zaidi shilingi bilioni moja kutoka mgawo huo.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment