“Kanuni ya Bunge inaeleza wajibu wa Mbunge ni kuhudhuria vikao vya Bunge na Kamati, na Mbunge akiwa na udhuru ni lazima apate ruhusa ya Spika, Mh Naibu Spika, mimi niko hapa kwa sababu sina ruhusa na niko hapa kwa sababu naujua wajibu wangu” amesema
Wabunge wengine wa CHADEMA waliohudhulia vikao vya bunge ni Peter Lijualikali (Kilombero) na David Silinde (Mbozi)
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment