Alivitaja baadhi ya vituo vya matibabu ya ugonjwa wa Corona na idadi ya wagonjwa kwa siku ya leo kwa Dar es Salaam na Pwani kuwa hospitali Amana ina wagonjwa 12, kisoka- Mloganzila 6 na kituo cha Kibaha 24.
Prof. Mchembe amewaasa watoa huduma za afya kuwahudumia wote wanaofika katika kituo cha afya bila ubaguzi.
Amesema wapo wagonjwa wengine hawaumwi Corona bali wana magonjwa mengine ambayo yanahitaji huduma za matibabu ya kila siku.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment