Dkt. Tedros ameweka wazi wasiwasi uliopo kuhusu ongezeko la maambukizi kwenye nchi masikini na zenye uchumi wa kati. Aidha, Wataalamu wameonya kuwa idadi halisi ya maambukizi inaweza kuwa kubwa zaidi.
Hadi kufika sasa takribani Visa 5,129,453 vya wagonjwa wa covid -19 vimerekodiwa ulimwenguni, Wagonjwa 2,044,614 wamepona na 331,021 wamepoteza maisha.
HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA GODSTAR ONLINE >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA GODSTAR ONLINE
No comments:
Post a Comment